![]() |
jhfndhfdjkfkmdhjfhd fdnmfd |
![]() |
manad adjksd shdhsd sjkdks dskhdfsf sfushfshyufysfufysfsdogf dgiydugyuagligyd |
Tanzania
Bunge Sports Club Football imefanya maajabu katika uwanja wa Nyayo
jijini Nairobi jana kwa kuwabamizwa wenyeji wao timu ya Kenya Bunge
Sports Club Football mabao 5 kwa nunge katika michezo ya mabunge ya nchi
za Jumuiya ya Afrika Mashariki yanayoendelea jijini Nairobi. Mashindano
hayo yaliyofunguliwa rasmi juzi tarehe 7 Disemba na Spika wa Bunge la
Afrika Mashariki Mh. Margreth Natongo Zziwa akisisitiza “let the best
team win” tayari yamezikutanisha timu ya Bunge la Uganda na timu ya
Jumuiya ya Afrika Mashariki ambapo timu hizo zimetoka sare
chanzo:mwananchi
No comments:
Post a Comment